kwangila

Just another WordPress.com weblog

KUTOJUMULISHA MIKOPO YA WAFADHILI: HEKO SERIKALI

Utegemezi wa mikopo umeyafanya mataifa mengi kuwa maskini kila kukicha. Sababu ni kwamba wanaoahidi kutoa mikopo huchelea kuitoa au wakakosa kuitoa kabisa. Kisha ikishatolewa wanathibiti namna ya kuitumia na viwango vya riba. Hivi sasa deni la Kenya ni zaidi ya shilingi bilioni 500. Serikali inatumia 15% ya mapato kulipia deni hili.

Hatuwezi kudai kwamba tumefikia kiwango cha maendeleo iwapo tutaendelea kutegemea mikopo kutoka kwa wafadhili. Naipongeza serikali ya Kibaki kwa kutojumulisha mikopo hii katika bajeti inayotazamiwa kusomwa bungeni hivi karibuni. Hii ni ishara njema na zaidi nawapongeza Wakenya kwa kulipa ushuru unapelekea hali hii kuwepo.

April 11, 2006 - Posted by Daudi Kyeu | Uncategorized | | No Comments Yet

No comments yet.

Leave a comment